• Home
  • About Us
  • Contact Us
JOEBOY STUDIO
  • Home
  • Download App
Slide 1 Slide 2 Slide 3 Slide 4 Slide 5 Slide 6 Slide 7 Slide 8 Slide 9 Slide 10
Small Slide 1 Small Slide 2 small slide 3 Small Slide 4 Small Slide 5
Big Image
Series kali za kizungu, kikolea, kinaijeria zinapatikana kama zote
Small Top
Graphics
Small Bottom
Movie's
Ulimwengu wa Simulizi

Hii ni kwawadau wanaopenda kusoma simulizi bonyeza button hiyo juu kisha chagua aina ya simulizi..

Big Image
Series kali za kizungu, kikolea, kinaijeria zinapatikana kama zote
Small Top
Graphics
Small Bottom
Movie's
Homemovies

AMBULANCE (2022)

byJOEBOY -December 11, 2024
0
Baada ya will Kuona afya ya mkewe inazidi kuzorota,jitihada zote za kutafuta pesa kwaajili ya operation ya mkewe zimegonga mwamba ikabidi afike moja kwa moja kwa nduguye Dan kuomba asaidiwe pesa za matibabu ya mkewe

Alikaribishwa vizuri nyumbani kwa Dan Kisha akamueleza shida iliyo mpeleka, hakujua utajiri alionao Dan kaupata wapi,kumbe siku hiyo Dan na cruel yake walikuwa na mchongo wa kwenda kupiga tukio kwenye benk moja iliyokiwa inataka kuhamisha pesa kwenda benk nyingine 

Hivyo Dan akamtaka will wajumuike wote kwenye mission hiyo ili apate zaidi ya pesa anayohitaji kwaajili ya matibabu ya mkewe,Will alikuwa mbishi,ila kwa sababu ya situation mbaya aliyokuwa nayo ikabidi akubali kuambatana na Cruel ya Dan

Wakafika moja kwa moja mpaka benk,zoezi la uvamizi halikuwa gumu sababu walikuwa professional,wakafanikiwa kuweka benk hiyo chini ya ulinzi na kupora kiasi Cha pesa Cha kutosha

Kumbe Kuna askari huwa anammezea mate muhudumu wa benk hiyo na hiyo siku alikuwa anaenda kujaribu bahati yake ,bila kujua benk hiyo ipo chini ya ulinzi, alipojaribu kuingia benk alizuiwa na Dan akijidai ni mfanyakazi wa benk hiyo na kwamba siku hiyo hamna huduma

Ila askari huyo akalazimisha akidai ana shida ya dharula,wakamruhusu aingie,baada ya askari huyo Kuona hali ya tofauti benk hapo tayali alikuwa kachelewa na akadhibitiwa kabla hajamsanua askari mwenzake anayemsubir nje ya bank

Baada wa rafiki wa askari huyo Kuona mwenzake aliyeingia bank hapo yupo mikononi mwa watu ambao haelewi sura zao moja kwa moja akajua bank ipo chini ya wakulungwa, hivyo akatoa taarifa haraka kwa maaskari wengine 

Ndani ya muda mfupi bank ikazungukwa na maaskari ndani na nje,ndani ya muda mfupi waharifu waliojaribu kujibu mashambulizi wakawa chini,akabaki Dan na will wakiwa na yule askari mateka wakimtumia kama ngao

Dan alipojisahau kidogo askari huyo akamuwai akijaribu kujiokoa,Bahati mbaya akapigwa risasi wakamuacha akiugulia na kuendelea na jitihada nyingine za kujaribu kuchomoka Salama benk hapo,bahati nzuri walishuhudia ambulance moja ikitoka benk humo wakaona ndio njia rahisi ya wao kutoka bila kusanukiwa 

Ikabidi waiteke ambulance hiyo iliyokuwa na mtoa huduma na mgonjwa ambae ndio yule askari mwenye bahati mbaya waliyemjeruhi ,kisha will akashikilia usukani wa ambulance hiyo na kufanikiwa kutoka salama

Utamu wa movie hii ni baada ya Ambulance iliyowapakia will na Dan kusanukiwa baada ya aliyekuwa dereva wa ambulance hiyo kukutwa kapigwa vibaya na kina Dan na kuporwa ambulance hiyo

Hii movie nzima ni mchakamchaka na mtafuno baina ya vikosi vya usalama kuungana ili kuwanasa waharifu hao,katika movie za waporaji bank nilizowai Kuona hii ni mashine
          JOEBOY STUDIO TABORA
Tags: movies
  • Facebook
  • Twitter
You may like these posts

Post a Comment

Previous Post Next Post
JOEBOY STUDIO

🎉 CHEZA USHINDE ZAWADI 💰

Ad banner

🎰
Cheza
Tuma ujumbe

Follow Us

Popular Posts

Latest

🎬 A NEW LEGEND BEGINS!LEGEND KIDS – THE MOVIE THAT REDEFINES HEROISM!In a world where dreams are tested and courage is rare, Legend Kids introduces us to a new generation of young heroes. 🌟They may be kids—but their spirits are mighty. This film takes you on an unforgettable journey of bravery, friendship, and unstoppable determination. These aren’t your ordinary kids… they’re legends in the making!✨ From the visionary minds behind some of the best youth adventures, Legend Kids is packed with action, laughter, and heartwarming moments that will leave you inspired.🔹 Ordinary kids. Extraordinary dreams. An unforgettable journey.🔹 It’s time for a new generation to rise!📅 Coming soon to theaters near you – PREMIERING on [insert date]!🎟️ Don’t just watch it—feel it.#LegendKidsMovie #NewEraOfHeroes #YoungLegends #InspireTheFuture #MustWatchFilm #ComingSoon

byJOEBOY-July 09, 2025

CHEZA NA USHINDE HADI 50K

July 03, 2025

Habari mteja wangu wa nguvu!Karibu sana kwenye huduma zetu za movie online. Kwa malipo ya huduma, tumia namba yetu rasmi hapa chini:📲 Namba ya Malipo: [43332429](Available kwa WhatsApp & Telegram)NB: Tafadhali hakikisha umetuma ushahidi wa malipo mara baada ya kutuma.Asante kwa kuendelea kutuamini na kufurahia movie kali kila siku!#MovieTime #HudumaBora

July 10, 2025

SUPER QUALITY

May 24, 2025

Main Tags

  • Audio (1)
  • Biashara (1)
  • Chombezo🔞 (2)
  • Latest (1)
  • love story (2)
  • Lovestory (3)
  • lovestory🔞 (2)
  • Movie (11)
  • movies (66)
  • post (2)
  • Riwaya (3)
  • series (4)
  • Simulizi (9)
  • Tangazo (1)
  • Tech (8)
  • Tips (2)

Visitors


JOEBOY STUDIO

JOEBOY STUDIO TABORA

Karibu JOEBOY STUDIO TABORA | Tunajihusisha na huduma za uuzaji movies na Series za aina zote kwa bei nafuu | Pia tunatoa huduma za kutengeneza mabango ya biashara na Logo za biashara kwa gharama nafuu | Pia tunatoa mafunzo ya Computer kwa gharama nafuu Karibuni sana

Design by Theme Developer | Distributed by Blogger Templates
  • Home
  • About Us
  • Contact Us

Contact form